• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • TEHAMA
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

Fedha na Biashara

Majukumuya Idara

1. Kutoa  mafunzo kwa watumishi sita juu ya taaluma ya kukusanya mapato 

2.  Kuandaa taarifa ya kila siku ya mapato 

3.  Kuweka   stakabadhi za mapato Katika kitabu cha mapato kwa kutumia mfumo wa EPICOR 

4.  Kuandaa rejesta za walipa kodi 

5.  Kufanya  utafiti wa kujua vyanzo vingine vya mapato kwa lengo la kupanua wigo wa     mapato.     

6.  Kufanya  mapitio ya Sheria ndogo ndogo za mapato. 

7.  Kuandaa   malipo ya kila siku na kuyaweka kwenye kitabu cha malipo kwa kutumia mfumo     wa Epicor 

8.  Kutunza  vocha za malipo zikiwa zimeambatanishwa na vielelezo vyake kwa Wakati     muafaka.     

9.  Kuandaa  malipo kwa watumishi, watoa huduma kwa wakati. 

10. Kutoa  mafunzo kwa watumishi kwa ngazi ya D-F 

11. Kuandaa  taarifa za hesabu za fedha za kila mwezi, robo mwaka na mwaka mzima. 

12. Kuandaa  taarifa za fedha na bajeti . 

 Biashara

1. Kununua   vifaa vya kutosha (vitendea kazi) 

2. Kutoa  mafunzo kwa wakufunzi (ToT) 

3. Kutoa  mafunzo kwa wajasiliamali 

4. Kutoa  leseni za vileo 

5. Kukusanya   ushuru wa hoteli kwa wakati 

6 Kukagua  maeneo ya biashara kama vile baa, nyumba     za kulala wageni. 

7. Kuandaa  semina kwa wadau 

8 Kutoa  elimu kwa umma kupitia vyombo vya habari 

9. Kutoa  mafunzo kwa Maafisa Watendaji wa Kata na viongozi wa Mitaa kuhusu taratibu     za kupata leseni. 



Matangazo

  • TANGAZO LA MAPOKEZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2023 May 12, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 06, 2022
  • TANGAZO LA UUZWAJI VIWANJA ENEO LA KIEGEA A NA B December 02, 2022
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKABIDHIWA OFISI RASMI, AAHIDI KUWEKA MIKAKATI KUUENDELEZA MKOA WA MOROGORO.

    June 02, 2023
  • MANISPAA YA MOROGORO YAKABIDHI VIBAO 29 VYA UPIMAJI VIASHIRIA VYA LISHE KWA WATOTO CHINI YA MIAKA 5

    May 31, 2023
  • RAS MOROGORO AFUNGA RASMI UMITASHUMTA, ATOA AGIZO KWA WAKURUGENZI

    May 29, 2023
  • KAZI YANGU YA KWANZA NI KUHAKIKISHA KUWA MOROGORO INAKUWA NA MISINGI YA AMANI - MHE. ADAM MALIMA, RC MORORORO

    May 26, 2023
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa