• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

Mipango Miji na Mazingira

Mipango Miji na Mazingira:

Utangulizi:
 Malengo ya Idara ya Mipangomiji na Mazingira kwa Mwaka 2013/2014 ni Malengo Matatu makubwa yafuatayo:

(a)   Uongozajiwa Ukuaji wa Mji katika Misingi endelevu na ya kimkakati. 

(b)   Kuimarishahuduma za kiuchumi, miundombinu na mawasiliano

(c)   Kuimarisha usimamizi wa Maliasili na Mazingira.

 Watumishi:

Idaraya Mipangomiji na Mazingira ina jumla ya Watumishi 30.  Kwa mujibu wa Ikama yaWatumishi wa Manispaa Sekta hii ina upungufu wa Watumishi 41 ambao ni AfisaMipangomiji wiwili  (2), Maafisa ArdhiWaandamizi (2), Mpiga chapa wa kumbukumbu (1) na Karani Masijala WatunzaKumbukumbu  2.  Wapima ardhi watatu (3), Fundi Sanifu  Upimaji watano (05), Wasanifu Ramani wawili(2), Field Asst. Kumi (10), Afisa Misitu wawili (2), Wathamini Wasidizi wawili(2), Mhudumu  mmoja (1) na Afisa ArdhiWasaidizi Wandamizi Wawili  (2). AfisaMazingira Mmoja (1) AngaliaJedwali Na.1. Aidha kunawatumishi waliohama na waliohamia katika Manispaa hii, Angalia Jedwali na 2.  

Jedwali Na. 1 – Haliya Watumishi:

  NA.
  
  KITENGO
  
  KADA YA WATUMISHI
  
  WALIOPO
  
  PUNGUFU
  
  1)
  
  Mipangomiji
  
  Afisa mipangomiji  
  
  3
  
  2
  
  2)
  3)
  4)
  5)
  
  Upimaji
  
  (i)  Wapima ardhi
  
  3
  
  3
  
  (ii) Fundi Sanifu  na upimaji
  
  3
  
  5
  
  (iii)  Wasanifu     Ramani
  
  4
  
  2
  
  (iv)  Field Asst.
  
  2
  
  10
  
  6)
  
  Maliasili
  
  (i)  Afisa  Misitu
  
  1
  
  2
  
  7)
  
   
  
  (ii)  Afisa Mazingira
  
  -
  
  1
  
  8)
  9)
  
  Uthamini
  
  (i) Wathamini
  (ii) Wathamini  Wasaidizi
  
  3
  
  -
  
  1
  
  2
  
  10)
  
  Ardhi
  
  Afisa Ardhi  Mwandamizi
  
  1
  
  2
  
  Afisa Ardhi Mteule
  
  1
  
  1
  
  Afisa Ardhi
  
  2
  
  3
  
  Afisa Ardhi W/Mwandamizi
  
  2
  
  2
  
  Afisa Adhi Wasaidizi
  
  2
  
  2
  
  Mpiga chapa wa Kumbukumbu
  
  -
  
  1
  
  Mtunza Kumb.
  
  2
  
  2
  
  Wahudumu
  
  2
  
  1
  
                  JUMLA KUU
  
  30
  
  41
  

 

 KITENGO CHA MIPANGOMIJI:

LengoKuu la Kitengo cha Mipangomiji ni uongozaji wa ukuaji wa mji  katikamisingi endelevu na ya kimkakati. Shughuli kuu zilizofanyika ni kama ifuatavyo:

  Utekelezaji wa Mpango Kabambewa Manispaa ya Morogoro pamoja na Mpango wa uendelezaji Mji Kati:

  •  Ukaguzi wa Mji Kati umeendelea kwa kudhibiti ujenzi eneola Mji Kati kwa kutoa Vibali vya Ujenzi kwa kuzingatia Mpango wa Mji kati kwakuzingatia Sheria ya Mipangomiji Na. 8 ya 2007 na Sheria ya Ujenzi Mjini. 
  •  Idara imekusanya taarifa mbalimbali na kufanya uhakiki wamapendekezo  ya mpaka wa eneo la mpangokabambe mpya na tayari mapendekezo ya mpaka mpya wa eneo la mpangolimewasilishwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

 Usimamizina Udhibiti wa Uendelezaji wa Mji

  •  Kitengo kimeendelea kutoa ushauri katika maswala yauendelezaji wa Mji kadiri wateja walivyo jitokeza jumla ya wateja 114 wamepokea ushauri wa kitaalamu kwakuzingatia sheria ya Mipango miji Na. 8 ya 2007 na sheria ya Ardhi Na. 4 ya1999 pamoja na sheria Shirikishi.
  •  Utoaji wa masharti ya uendelezaji, jumla ya viwanjavipatavyo 440 viliandaliwa masharti mbalimbali ya uendelezaji wake.
  •  Jumla ya ramani za Majengo 88 zimepokelewa nakuidhinishwa na kamati ndogo ya vibali vya ujenzi.
  •  Katika kipindi hiki kitengo kimetoa jumla ya ridhaa 120za Mipango Miji (Planning Consent).
  •  Kutoa Ilani ya kuzuia ujenzi unaofanyika kinyume namatakwa ya kisheria; Ilani zimetolewa kwa kushirikiana na Mhandisi wa Manispaakama matakwa ya kisheria yalivyo na jumla ya Ilani 42 zilitolewa.
  •  Kitengo kimendelea kupokea maombi ya mabadiliko yamatumizi ya Ardhi na umegaji wa viwanja. Ukaguzi wa viwanja (06) vinavyoombewa mabadilikovimekaguliwa.  
  •  Mipango ya kina inayoandaliwa katika kipindi hiki, jumlaya Michoro mipya ya Mipangomiji ipatayo 07 imepokelewa na kuwasilishwa. 

  KITENGO CHA ARDHI

 Shughuli zilizofanyika ni kama ifuatavyo:

  • Uandaaji wa Hati Miliki

Katika kipindi hiki, jumla yaRasimu za Hati tisini na nane (98)ziliandaliwa na kukabidhiwa kwa wamiliki kwa hatua za Upelekaji Wizarani kwakusainiwa na kusajiliwa.  Pia kuna jumlaya maombi ya ramani ndogo za hati mia mbili kumi na tano (215) yamewasilishwa kwa ajili ya kuandaliwa na Mpima wa Manispaa

  •   Uhamisho wa Miliki:

Kwa Kipindi cha Aprili hadi Juni 2014 jumla ya Miliki sabini na tisa (79) zilihamishwa kutoka mmiliki mmoja kwenda kwa mwingine nakupata kibali cha Afisa Ardhi Mteule wa Manispaa.

  •  Uthibitisho wa Malipo yaViwanja

Jumla ya malipo kwenye viwanja(132) vimethibitishwa kwa wamilikimbalimbali tayari kwa hatua za uandaaji wa Rasimu za Hati kwa wamiliki hao.

  •  Maombi ya Ramani za Hati:

Jumla ya maombi ya Ramani zaHati (Deed Plans) 215 ziliombwa kwaMpima Ardhi wa Manispaa na kupatiwa namba (Land Office Number). 

  •  Kuhakiki Maombi ya  Vibali vya Ujenzi: 

Zoezi la kuhakiki umiliki kwaajili ya utoaji wa vibali vya ujenzi ulifanyika  na jumla ya Maombi  (51)yalihakikiwa na kupitishwa na Ramani nne (04) kurudishwa kwa kuwa na mapungufumbalimbali  yakiwemo ya miliki Pandikizina waombaji  kutolipa Kodi ya Ardhi.  Wananchi hao wamekuwa wakiitwa kwa barua ilikurekebisha kasoro hizo. 

  •  Usuluhishi  wa Migogoro ya ardhi 

Kwa kipindi hiki jumla yamigogoro 15 ilipokelewa na mingine 30 ipo Mahakamani, kati ya hiyo iliyopoMahakamani migogoro 4 imepatiwa ufumbuzi/ kuamliwa katika Baraza la NArdhi naNyumba la Wilaya. 

 KITENGO CHA UTHAMINI

 Kitengo kimeendelea na utekelezaji wa kazi zake kama ifuatavyo:

  •  Uthamini kwa ajili ya uhamishowa miliki (Transfer)

Jumlaya viwanja 60 vimefanyiwa uthamini kwa ajili ya kuandaa Hati za uhamisho wamiliki.

  •  Uthamini Kwa ajili ya dhamanaya Mikopo Benki (Collateral).  Hakuna ombi lolote kwa ajili ya mikopo Benki.
  •   Uthamini kwa ajili ya fidia yamali:  

Wananchi 1,432  wa kaya zilizoathiriwa na utekelezaji yamiradi ya maendeleo wamefanyiwa tathmini kwa ajili ya fidia.

  •  Uthamini kwa ajili ya nyongezaya muda miliki za viwanja    

Jumla ya viwanja 03 vimefanyiwatathimini hiyo. 

  •  Uthamini kwa ajili yamabadiliko ya matumizi ya viwanja (Change of Use)  

   Jumlaya maombi 02 yameshughulikiwa.

  •   Hapakuwana uthamini kwa ajili ya mirathi na mgawanyo wa   mali
  •   Uthamini kodi ya Ardhi – Jumla ya Viwanja 1,889vimekadiriwa kodi ya    ardhi  kwa kipindi   hiki.

 KITENGO CHA UPIMAJI NA RAMANI

kitengo cha Upimaji na Ramani kiliendelea na utekelezajiwa kazi zake kama ifuatavyo:-

 Kazi  zilizofanyika kipindi hiki

Upimaji wa viwanja vipya: 

  • Viwanja 129 vimepimwa maeneo ya Kiegeya na Mkundi kwa nguvu za wananchiwenyewe ikiratibiwa na kitengo cha Upimaji na Ramani.
  • Upimajikwenye makazi holela (Informal Settlement Reguralization):
  • Kitengo kimeshiriki katikavikao vya   uhamasishaji Mkurabita katikamitaa ya    Kasanga na Kirongo.
  •  Uoneshaji wa Viwanja Vipya:

Viwanja vinaendelea kuonyeshwamaeneo ya     Kiegeya (Mangoroma UTT)na viwanja vilivyopimwa na wanafunzi wa Chuo cha Ardhi huko Kiegeya (FieldWork) kwa nguvu za wananchi wenyewe.

 Utatuziwa Migogoro ya Mipaka:

Migogoro 5 tumefanikiwa kufufuamipaka kama ifuatavyo:

·    Kurudishiamipaka ya viwanja namba 277 & 278 Mlimani.

·    Kurudishiamipaka ya viwanja namba 3 &5 Kitalu J Kihonda.

·    Kurudishiamipaka ya kiwanja namba 51     KitaluA Mji Mpya.

·    Kurudishiamipaka 86/2 na 87 Kitalu A  Kigurunyembe.

·    Kuonyeshampaka kati ya eneo la (Mzinga Cooparation) na Kata ya Kauzeni.

·    Kuonyeshaalama za viwanja mbalimbali     77maeneo ya Mkundi, Kihonda, Mazimbu, Tungi, Forest, Kichangani, Kiegeya, Lukobe,Mlimani na Kola. 



Matangazo

  • HERI YA SIKUKUU ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA WA 2021 December 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WANAOTAKA KUPANGA VIOSKI MANISPAA YA MOROGORO March 25, 2020
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA MOROGORO YAIBUKA KINARA WA LISHE MKOA WA MOROGORO

    February 05, 2021
  • WANANCHI WATAKIWA KUENDELEA KUSHIRIKI KATIKA UJENZI WA MADARASA

    January 28, 2021
  • WAITARA ARIDHISHWA NA USAFI MANISPAA YA MOROGORO, ATAKA KASI IONGEZWE KATIKA UPATIKANAJI WA DAMPO LA KISASA

    January 25, 2021
  • MEYA KIHANGA AWACHARUKIA WAALIMU WAKUU, AWATAKA WAJITATHIMINI

    January 19, 2021
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa