• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

UJENZI WA OFISI YA KATA MJI MKUU

Start Date: 2013-09-05
End Date: 2017-06-10




1. MAHALI ULIPO: 

Jengo hili la Ofisi ya Kata lipo Kata ya Mji Mkuu Mtaa wa Boma barabara iendayo ofisi ya  Mkuu wa Mkoa Morogoro.

2. LENGO LA MRADI: 

Kutoa huduma bora kwa Wananchi wa Kata ya Mjimkuu pamoja na Wananchi wengine wakazi wa Manispaa ya Morogoro pamoja na kuongeza ufanisi wa kiutendaji watumishi wa ugani waliopo.

3.HATUA ZA UTEKELEZAJI:

Ujenzi wa Ofisi hii ulianza mwaka 2013 chini ya usimamizi wa Diwani wa Kata Hassan Maringo baada ya Wananchi kuibua ujenzi wa ofisi hii katika mchakato wa mpango shirikishi wa fursa na vikwazo kwa maendeleo (O&OD) ambapo matokeo ya Wananchi yalitoa kipaumbele cha ujenzi wa ofisi hii ya Kata.Mwaka 2016 jengo hili liliwekwa jiwe la msingi na mbio za Mwenge wa Uhuru.

4. GHARAMA ZA MRADI:

Hadi mradi huu kukamilika umegharimu kiasi cha Ths.64,237,665.00, fedha hizi zimetokana na vyanzo vifuatavyo:

  • Serikali kuu     …        …        …        …                    Tshs. 16,000,000.00
  • Halmashauri ya Manispaa       …        …                    Tshs. 36,000,000.00
  • Wananchi wakazi wa Kata     …        …                     Tshs.   3,149,665.00
  • Wadau na Wahisani    …        …        …                    Tshs.  9,088,000.00

                          JUMLA KUU       …            …            …    Tshs. 64,237,665.00

6.  MANUFAA YA MRADI:

Kurahisisha utendaji wa kazi kwa Watumishi wa ugani pamoja na kuwa na mahali bora pa utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka mbalimbali za serikali kwa kufanya hivyo kutaongeza ufanisi wa kazi na utoaji wa huduma bora kwa Wananchi.

Matangazo

  • HERI YA SIKUKUU ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA WA 2021 December 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WANAOTAKA KUPANGA VIOSKI MANISPAA YA MOROGORO March 25, 2020
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA MOROGORO YAIBUKA KINARA WA LISHE MKOA WA MOROGORO

    February 05, 2021
  • WANANCHI WATAKIWA KUENDELEA KUSHIRIKI KATIKA UJENZI WA MADARASA

    January 28, 2021
  • WAITARA ARIDHISHWA NA USAFI MANISPAA YA MOROGORO, ATAKA KASI IONGEZWE KATIKA UPATIKANAJI WA DAMPO LA KISASA

    January 25, 2021
  • MEYA KIHANGA AWACHARUKIA WAALIMU WAKUU, AWATAKA WAJITATHIMINI

    January 19, 2021
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa