• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

Msingi

   IDARA YA ELIMU MSINGI

Utangulizi:

Dira yaMaendeleo ya Tanzania ya 2025 inalenga kutokomeza kabisa umaskini ifikapo Mwaka2025, na hivyo kipaumbele kikubwa kimewekwa katika Sekta ya elimu ambayo inachukuliwa kama msingimkubwa katika kuleta mabadiliko kijamii na kiuchumi. Hivyo Halmashauri yaManispaa ya Morogoro haiko nyuma katika kudumisha Mikataba na makubaliano yaKimataifa yanayohusu upatikanaji,usawa na ubora wa Elimu.

 Malengo ya Elimu:
Katika kipindihiki, Idara ya elimu ilitekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sera ya elimu na Mafunzo ya Mwaka 1995 ya Wizara ya Elimuna Mafunzo ya Ufundi, na Mpango wa Maendeleo ya elimu ya Msingi (MMEM) na Dira yaMaendeleo ya Tanzania 2002 – 2025 inayosisitiza kuondoa umasikini. Aidha Idarailijiwekea malengo kwa kipindi hiki kama ifuatavyo:

  • Kuongeza kiwango cha ufaulu waMtihani wa darasa la VII toka 66.6% hadi 79%.
  •  Kuongeza idadi ya watotowanaoandikishwa darasa la I 
  •  Kuongeza kiwango cha mahudhurioya wanafunzi madarasani. 
  •   Kupunguza kiwango cha wanafunziwanaoacha shule. 
  •  Kuongeza kiwango chawanaochaguliwa kuingia Elimu ya Sekondari. 
  •   Kujenga mazingira mazuri yakujifunzia na kufundishi 
  • Kuinua kiwango cha taaluma kwawalimu na wanafunzi.
  •   Kujenga uwezo wa Walimu navitendea kazi (Vifaa bora).
  •   Kuhamasisha jamii ili iwezekuchangia na kushughulikia masuala yanayohusu maendeleo ya elimu katika shulezao.
  •   Kuhamasisha misaada kwa watotoyatima na wanaoishi katika mazingira magumu, ikiwa pamoja na wanafunzi wenyeulemavu. 

 

 Hali Halisi:

Idara ya Elimuna Mafunzo ya Ufundi  inatekelezamajukumu yake kwa ushirikiano na vitengo vyake vya (Taaluma, Vifaa na Takwimu,Elimu ya Watu Wazima (EWW), Elimu Maalum na Utamaduni. Aidha zipo Idara 2zinazojitegemea zinazofanya  kazi  kwa kushirikiana na Idara ya elimu Utawalaambazo ni Idara ya Ukaguzi wa Shule na Tume ya Utumishi wa Walimu (TSD). PiaIdara imeshirikiana na Asasi zisizo za Kiserikali,Mashirika yaDini na Wadau mbalimbali. Kutokana na mahusiano hayo, Idara ilitekelezamajukumu yake kwa ufanisi, Idara ya elimu (Msingi) ina vitengo 4 ambavyovilitekeleza majukumu yake katika maeneo ya kielimu yafuatayo:-                                                                                                                                                                                                                                  

  •   Elimu ya Awali.
  •   Elimu ya Msingi.
  •   Elimu ya Watu Wazima.
  •   Elimu ya Ufundi Stadi.
  •   Utamaduni, Lugha na Michezo na Elimu Maalum.

 Taarifa ya Elimu ya Awali:

Halmashauri ya Manispaa ina jumla ya shule 67 zenye madarasa ya awali,kati ya hizo 44 ni serikari na 23 ni shule zinazomilikiwa na watu binafsi.Shule hizo zina jumla ya wanafunzi 3638  (Jedwali Na.1).

JedwaliNa.1 - Idadi ya wanafunzi katika madarasa ya Elimu ya Awali:

  Jinsi
  
  Mwaka 1
  
  Mwaka 2
  
  Jumla
  
  Wav
  
  915
  
  866
  
  1781
  
  Was
  
  1010
  
  847
  
  1857
  
  Jumla
  
  1925
  
  1713
  
  3638
  

Chanzo – Idara ya Elimu Msingi 2014

 Taarifa ya Elimu ya Msingi:

Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ina jumla ya shule 85 za msingi kati ya hizo shule 62 ni za Serikali na shule 23 zisizo za Serikali.  Jumla ya wanafunzi walio katika shule zamsingi ni 50,900 kati yao wavulanani 24,885 na wasichana ni  26,017.

  

Uandikishaji wa wanafunzi wapya wa darasala Awali na Msingi 2014 

Uandikishaji wa Wanafunzi wanaoanzamadarasa ya awali na darasa la kwanza umekamilika na hali ya uandikishaji ikokama  ifuatavyo;-

Jedwali 2(i) Maoteo na uandikishaji kwa madarasa ya kwanza na ya Awali             

  Darasa
  
  Maoteo
  
            Uandikishaji 
  
            Asilimia
  
  Awali
  
  1342
  
  1348
  
  2690
  
  1123
  
  1197
  
  2320
  
  86
  
  Darasa  kwanza
  
  3056
  
  3110
  
  6166
  
  3011
  
  3259
  
  6270
  
  101
  

 Idadi ya wanafunzi katika shule za Msingi  kwa mwaka 2014

Halmashauri ina jumla ya wanafunzi  44,676 mchanganuo upo kama ulivyo katikajedwali na 2(ii).  Zoezi la ukusanyajiTakwimu za Elimu ya Msingi limefanyika kupitia maelekezo kutoka OWM-TAMISEMIkwa kutumia vitendea kazi vinavyotolewa ambavyo ni  TSA (Taarifa ya Shule za Awali) na TSM(Taarifa za Shule za Msingi) vitendea kazi hivyo hupelekwa katika shule yaMsingi zote za Msingi za Serikali na Shule za binafsi.

Jedwali Na. 2(ii)- Idadi ya Wanafunzi Walio Katika Shule za Msingi zaSerikali:

  

S/N

  
  

Darasa

  
  

Idadi ya wanafunzi

  

Wav.

  
  

Idadi ya wanafunzi

  

Was.

  
  

Jumla ya wanafunzi

  
  1)
  
  I
  
  

3,567

  
  

3,587

  
  

7,154

  
  2)
  
  II
  
  

3,428

  
  

3,432

  
  

6,860

  
  3)
  
  III
  
  

3,247

  
  

3,371

  
  

6,618

  
  4)
  
  IV
  
  

2,966

  
  

3,191

  
  

6,157

  
  5)
  
  V
  
  

3,181

  
  

3,247

  
  

6,428

  
  6)
  
  VI
  
  

3,035

  
  

3,213

  
  

6,248

  
  7)
  
  VII
  
  

2,413

  
  

2,798

  
  

5,211

  
   
  
  Jumla Kuu
  
  

21,839

  
  

22,839

  
  

44,676

  

    Chanzo: Idara ya Elimu, 2014

Jedwali Na. 2(iv)- Idadi ya Wanafunzi Walio Katika Shule za Msingi  zisizo za Serikali:

  

S/N

  
  

Darasa

  
  

Idadi ya wanafunzi

  

Wav.

  
  

Idadi ya wanafunzi

  

Was.

  
  

Jumla ya wanafunzi

  
  1)
  
  I
  
  

694

  
  

693

  
  

1,387

  
  2)
  
  II
  
  

549

  
  

561

  
  

1,110

  
  3)
  
  III
  
  

482

  
  

485

  
  

967

  
  4)
  
  IV
  
  

400

  
  

452

  
  

852

  
  5)
  
  V
  
  

353

  
  

362

  
  

715

  
  6)
  
  VI
  
  

295

  
  

340

  
  

635

  
  7)
  
  VII
  
  

273

  
  

285

  
  

558

  
   
  
  Jumla Kuu
  
  

3,046

  
  

3,178

  
  

6,224

  

Chanzo: Idara ya Elimu, 2014

 

PiaHalmashauri ina jumla ya wanafunzi 786wakiwemo wavulana 432 na wasichana 354 wenye ulemavu. Shule zenyewanafunzi walemavu ni pamoja na Mafiga,Kikundi, Kilakala, Mazimbu, Mwembesongo, Kiwanja cha Ndege, Mzinga, Kihonda na Bungo 

 

Jedwali namba 2 ( v) Mchanganuo wawanafunzi na aina ya ulemavu

  

Na.

  
  

Aina  ya Ulemavu

  
  

WV

  
  

WS

  
  

JML

  
  1)
  
  Viziwi
  
  

142

  
  

121

  
  

263

  
  2)
  
  Akili
  
  

243

  
  

197

  
  

440

  
  3)
  
  Uoni hafifu
  
  

31

  
  

29

  
  

60

  
  4)
  
  Viungo
  
  

6

  
  

7

  
  

13

  
   
  
  Jumla
  
  

432

  
  

354

  
  

786



Matangazo

  • HERI YA SIKUKUU ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA WA 2021 December 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WANAOTAKA KUPANGA VIOSKI MANISPAA YA MOROGORO March 25, 2020
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA MOROGORO YAIBUKA KINARA WA LISHE MKOA WA MOROGORO

    February 05, 2021
  • WANANCHI WATAKIWA KUENDELEA KUSHIRIKI KATIKA UJENZI WA MADARASA

    January 28, 2021
  • WAITARA ARIDHISHWA NA USAFI MANISPAA YA MOROGORO, ATAKA KASI IONGEZWE KATIKA UPATIKANAJI WA DAMPO LA KISASA

    January 25, 2021
  • MEYA KIHANGA AWACHARUKIA WAALIMU WAKUU, AWATAKA WAJITATHIMINI

    January 19, 2021
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa