• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

Mifugo na Uvuvi

Shughuli mbalimbali za uendelezaji mifugo na uvuvi zinazofanyika ndani ya Halmashauri. Kazi zilizofanyika ni:

1. Kutoa ushauri juu ya ufugaji bora ili  kuendeleakuboresha mazao yatokanayo na mifugo  nakuongeza kipato kwa wafugaji. 

2. Kutoa hudumaza  kuhasi wanyama na  usimamizi wa uogeshaji wa mifugo 

3. Utambuziwa mahitaji ya mafunzo mbalimbali ya wafugaji samaki kwa kuwatembelea nakusikiliza mahitaji yao. Kuandaa na kuhakikisha wafugaji wanapata mafunzokulingana na mahitaji yao

4.Kutoa  kinga na tiba dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mifugo

5. Usimamizi wauchunaji na wawamba ngozi zinazozalishwa ndani ya machinjio ukusanyaji waushuru wa usafirishaji wa ngozi

6.   Usimamizi washughuli mbalimbali zinazofanyika machinjioni i.e uchinjaji na ukaguzi wa nyamapamoja  na usafi wa machinjio. 

7.  Kutoa elimu yauhifadhi bora wa maziwa pamoja na kuhakiki ubora wa maziwa katika kituo chakukusanyia maziwa cha Uwamamo 

8   Usimamizi wavikundi vya kuku pamoja na ujenzi wa mashamba darasa ya kuku katika kata yaMindu  na shamba darasa la samaki  kata ya Bigwa.

9.  Kusimamiashughuli za mnada na usafirishaji wa mifugo inayouzwa mnadani na ile inayosafirishwandani na nje ya Mkoa wa Morogoro.  

10. Kusimamiaukusanyaji wa mapato ya Halmashauri yatokanayo na  shughuli za mnada na ukaguzi wanyamamachinjioni.

11.  Kuratibu nakufanya Kikao cha wadau wa Maziwa kilicholenga kutoa elimu ya  uanzishaji wa Jukwaa la maziwa kama  namna bora ya kukabiliana na changamoto zatasnia ya maziwa.

12.  Uanzishaji wavikundi vya wafugaji kuku kupitia shirika la SWISSCONTACT katika katambalimbali za Manispaa.

  Hali ya malisho na afya ya mifugo

Malisho na maji yamepatikana kwa kiasi cha kuridhisha.Magonjwa ya mlipuko yaliyo tolewa tarifa ni FMD ambayo bado ipo kidogo kata yaKingolwira  na Kilakala. 

MAZAO YATOKANAYO NA MIFUGO

  Usafi na ukaguzi wa nyama katika Kata:

(i) Idadi ya mifugo iliyochinjwa na kukaguliwa katikakata ni kama inavyoonyeshwa hapa chini:- 

       Mwezi
  
  Aina ya mifugo
  
  Ng’ombe
  
  Mbuzi
  
  Nguruwe
  
  Kuku Kisasa
  
  Kuku kienyeji
  
  April
  
  16
  
  106
  
  137
  
  23,672
  
  8,837
  
  Mei
  
  0
  
  43
  
  110
  
  19,124
  
  9,208
  
  Juni
  
     22
  
     81
  
     45
  
    18,604
  
    13,111
  
  JUMLA
  
  38
  
  230
  
    292
  
  61,400
  
  31,156
  

     Bei ya Nyama: 

  Aina
  
  Steki
  
  Mchanganyiko
  
  Maini
  
  Kichwa
  
  Utumbo
  

                 
  Bei (Tsh)
  
  7000.00
  
  6000.00
  
  8000.00
  
  15,000.00
  
  2000.00
  

 

 Uzalishaji wa Jibini (Cheese)

  Mwezi
  
  Kiasi (kg)
  
  April
  
  10
  
  May
  
  7
  
  June
  
  7
  
  JUMLA  
  
  24
  

 

 Zao la ngozi

   
  Mwezi
  
  Ngozi za  Ng’ombe
  
  Uzito  Wastani (Kg)
  
  Thamani (Tshs)
  @1000/=
  
  Ngozi za mbuzi
  
  Uzito Wastani  (Kg)
  
  Thamani (Tshs)
  @1000/=
  
  April
  
  3,110
  
  41,985
  
  41,985,000.00
  
  0
  
  0
  
  0
  
  May
  
  3,130
  
  42,255
  
  42,255,000.00
  
  0
  
  0
  
  0
  
  June
  
  3,087
  
  41,675
  
  41,675,000.00
  
  0
  
  0
  
  0
  
  Jumla
  
  9,327
  
  125,914.5
  
  125,914,500.00
  
  0
  
  0
  
  0
  

 

Ngozi zilizokaushwa katika kata:

Kingolwira: 51 ; 

    34 zimekaushwa kwa jua

    17 zimekaushwa kwa chumvi

Lukobe: 12;

       12zimekaushwa kwa jua

Changamotokwenye zao la ngozi

Kukosekana kwa soko langozi zinazokaushwa kwa njia ya hewa hivyo kuwalazimu wafanyabiashara wote wangozi kuhamia kwenye njia ya ukaushaji wa chumvi ambayo ina gharama zaidi hivyokuwarudisha nyuma kiuchumi.


  Huduma za mifugozilizofanyika:

(a) Uogeshaji:

       Mwezi
  
  Ng’ombe
  
  Mbwa
  
  Mbuzi
  
  Kondoo
  
  Aina za dawa
  
  April
  
  2,635
  
  656
  
  620
  
  0
  
  tick fix  /Paranex/Albadip/Tactic/Steledone/Cybadip/Dominex
  
  May
  
  2,590
  
  743
  
  556
  
  165
  
  June
  
  2,680
  
  569
  
  683
  
  0
  
  JUMLA:
  
  7,905
  
  1,968
  
  1,859
  
  165
  

 

(b)Kuhasi:

·   Nguruwe-    272   

·   Mbuzi-47               

·   Ng’ombe-    50

      

(c)Kukata meno:

·   Nguruwe-    195        

 

(d)Kukata pembe:

·   Ng’ombe-45        

·   Mbuzi-  23        

·   Kondoo- 12       

     

(e)Kukata midomo

·   Kuku- 6,861    

(f)Kukata kwato:

·   Kondoo- 20        

·   Mbuzi-  9        

 

    (f) Uhamilishaji

·   Ng’ombe-16    

    (g) Kuweka alama:

·   Ng’ombe-  12     

·   Nguruwe-  19      


Matangazo

  • HERI YA SIKUKUU ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA WA 2021 December 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WANAOTAKA KUPANGA VIOSKI MANISPAA YA MOROGORO March 25, 2020
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA MOROGORO YAIBUKA KINARA WA LISHE MKOA WA MOROGORO

    February 05, 2021
  • WANANCHI WATAKIWA KUENDELEA KUSHIRIKI KATIKA UJENZI WA MADARASA

    January 28, 2021
  • WAITARA ARIDHISHWA NA USAFI MANISPAA YA MOROGORO, ATAKA KASI IONGEZWE KATIKA UPATIKANAJI WA DAMPO LA KISASA

    January 25, 2021
  • MEYA KIHANGA AWACHARUKIA WAALIMU WAKUU, AWATAKA WAJITATHIMINI

    January 19, 2021
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa