• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

Rasilimali watu na Utawala

Majukumu ya Idara kwa ujumla

1.Kuendesha Semina na kujenga uelewa kwa viongozi wa Kata na Mitaa yote ndani ya Manispaa ya Morogoro

2. Kuendesha Semina kuhusu Uongozi bora na uwajibikaji kwa Madiwani, Watendaji wa Mitaa na Kata

3.Kufanya ziara ya mafunzo kwa timu ya uongozi wa Manispaa na Madiwani kwenye Halmashauri zingine

4.Kufanya usimamizi na kutembelea mitaa na kata zote kujua uwajibikaji wa kila mmoja katika kata na mtaa husika

5.Kuandaa na kukagua majalada ya watumishi na kujua anayehitaji kupanda cheo pamoja na kujua stahiki zao

6. Kuandaa vikao vya madiwani kwa kamati mbali mbali

7. kuandaa vikao vya kupandisha cheo watumishi wanaostahili kupanda cheo

8. Kuajiri wafanyakazi kwa kupata kibali kutoka Utumishi wa Umma


Idara ya Utumishi na Utawala ina vitengo viwili vikuu.Kitengo cha Utawala na Kitengo cha Utumishi. 

Uchambuzi ufuatao unaonesha uwezo, upungufu, fursa navikwanzo katika sekta hii.

 Uwezo : 

  • Watumishi     wenye sifa 
  • Mfumo     bora wa utawala 

 Upungufu : 

  • Uchache wa vitendea kazi 
  • Utoaji huduma duni kwa wateja 
  • Sheria ndogo zisizokidhi mahitaji ya sasa 

 Fursa : 

  • Mchango wa wadau wa Maendeleo 
  • Ufadhili kutoka Serikali Kuu 
  • Utashi wa kisiasa 

 Vikwazo : 

  • Kasi ndogo ya ugwatuaji wa madaraka toka Serikali kuu kwenda Serikali za Mitaa     (d by d) 



Matangazo

  • HERI YA SIKUKUU ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA WA 2021 December 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WANAOTAKA KUPANGA VIOSKI MANISPAA YA MOROGORO March 25, 2020
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA YA MOROGORO YAANZA UTEKELEZAJI WA AGIZO LA SERIKALI LA UJENZI WA SHULE MPYA ZA SEKONDARI

    December 28, 2020
  • MKURUGENZI MANISPAA MOROGORO AWAKUMBUKA YATIMA KUELEKEA SIKUKUU YA CHRISTMAS

    December 23, 2020
  • MGANGA MKUU MANISPAA MOROGORO AWAONYA WAMILIKI WA ZAHANATI ZISIZO ZINGATIA SHERIA

    December 22, 2020
  • MKURUGENZI MANISPAA MOROGORO AWATAKA WATENDAJI KATA KUHAKIKISHA MABOMA YA MADARASA YANAKAMILIKA KWA WAKATI ILI WANAFUNZI WALIOFAULU WAINGIE DARASANI

    December 21, 2020
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa